The House of Favourite Newspapers

Tunda: Siwezi Kumuheshimu Anti n’go

Tunda Sebastian ‘Tunda’.

MUUZA nyago maarufu Bongo na mwenye visa kila kukicha Tunda Sebastian ‘Tunda’ amefunguka kuwa kamwe hawezi kuirudisha heshima yake aliyokuwa akiitoa kwa staa maarufu wa filamu Aunt Ezekiel, kama ilivyokuwa huko nyuma.

Staa maarufu wa filamu Aunt Ezekiel akiwa na mpenzi wake Moze Iyobo.

“ Mimi nilikuwa najua ni mwenye busara lakini hakuna kitu hivyo siwezi kumuheshimu tena hata kidogo maana zamani nilikuwa namchukulia kama dada lakini nimemvua cheo hicho kabisa kwangu hakipo,” alisema

Tunda.

Comments are closed.