The House of Favourite Newspapers

Uchaguzi jijini Dar shwaaaaaaari‏

0

 Hali imekuwa shwari katika Jiji la Dar es Salaam hasa wakati wa upigaji kura kuwachagua madiwani, wabunge na Rais wa Awamu ya Tano. Jiji hilo lenye pilikapilika nyingi za maisha mfukuto mkubwa wa kisiasa lakini hali haikuwa hivyo bali ilitawaliwa na amani kila mahala. Pichani ni baadhi ya barabara zikiwa hazina misururu ya magari na vyombo vingine vya moto kama ilivyozoeleka.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Hali ilivyokuwamchana wa leo  katika barabara za Morocco na Morogoro eneo la Magomeni Dar es Salaam.

 Kwenda Kinondoni kutoka Magomeni Mataa

 Kwenda Ilala, eneo la Mataa Magomeni

 Eneo la Banana Jimbo la Ukonga Dar

Hata wafanyabiashara hawakuwepo Banana, Ukonga Dar.

Leave A Reply