The House of Favourite Newspapers

Uchebe Anukia Namungo

0

Habari kutoka ndani ya klabu ya Namungo zinasema kuwa viongozi wameanza kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wa Simba na sasa anaifundisha AFC Leopards ya Kenya, Patrick Aussems kuona namna gani watampata.

Inaelezaa kuwa Namungo tayari wamemtumia hadi mikataba yao Aussems na wamefanya mazungumzo kwa ukaribu na kocha huyo, kinachosubiriwa ni maamuzi ya pande zote mbili kulingana na hali ilivyo.

Namungo chini ya Kocha Hemed Morocco hadi sasa katika Ligi imeshinda mechi moja, sare tatu na imepoteza mechi tatu.

Leave A Reply