Ushaiona video hii ya pacha wa Sauti Soul ‘H_art The Band’
Video ya Nikikutazama iliyoimbwa na H_art the Band
Baada ya kubamba na Ngoma ya Uliza Kiatu walioitoa mwaka jana, sasa bendi ya muziki kutoka Kenya ambayo unaweza kuiita pacha wa Sauti Soul iitwayo H_art The Band imetoa ngoma nyingine.
H_art the Band wakiwa katika picha ya pamoja.
Ngoma hiyo imepikwa na Kevin Bosco Jr na ukiitazama ipo katika staili f’lan inayokufanya usiichoke kuitazama.
Stori: Andrew Carlos/GPL
Aaaah, hawa majamaa ni hatareeeeeee….