Habari Uteuzi Mpya Uliofanywa Na Rais Magufuli Leo Last updated Jul 12, 2020 0 Share Rais Magufuli amteua Dkt. Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Dkt. Kazi alikuwa Meneja Idara ya Sera za Kibajeti na Madeni wa Benki Kuu ya Tanzania, BoT 0 Share