Video: Abdi Banda Mtanzania wa Kwanza ‘Captain’ Sauzi
BEKI Mtanzania, Abdi Banda, anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini katika Klabu ya Baroka na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka nchini kuwa nahodha wa timu ya soka Afrika Kusini.
Comments are closed.