Video: Alikiba Afunguka ‘Nilishamwambia Diamond, Sifanyi Shoo Yake’
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ Novemba 8, 2019 amesema hana ugomvi na Diamond Platnumz ila hawezi kushiriki kwenye tamasha lake kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio.
Comments are closed.