VIDEO: Diamond Azindua Ngoma Mpya na Rommy Mlimani City!
STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, usiku wa kuamkia leo amezindua ngoma yake ya ‘Rotate’ aliyoshirikiana na Rommy Jons ambayo inapatikana kwenye album ya, RJ the DJ, inayoitwa Listening Changes.
Album hiyo imezinduliwa rasmi usiku wa Julai 30, 2019, katika ukumbi wa Mlimani City ambapo Diamond alipanda jukwaani na kuizindua rasmi.
Romy Jons ‘RJ the DJ’ ni DJ wa mwanamuziki Diamond ambaye pia ndiye DJ wa kwanza Bongo kuzindua album yake.
Comments are closed.