VIDEO: HUYU HAPA NDIYE MSHINDI WA MISS KINONDONI 2019
Mrembo Queen Mugase ameibuka mshindi wa Miss Kinondoni 2019 baada ya kuwazidi warembo wengine 17, mashindano hayo yalifanyika eneo la Life Park- Mwenge.
Queen alikabidhiwa zawadi zake mbalimbali usiku huo huo, ikiwemo zawadi kuu ni gari aina Mini copper, hivyo na kumfanya aingie katika orodha ya Miss Kinondoni wenye kusukuma ndinga kali.
Comments are closed.