VIDEO: LAVALAVA Amwaga MACHOZI Stejini Tabora
HIT MAKER wa ngoma ya SAULA, Lavalava, amejikuta akizidiwa na furaha kutokana na shangwe za mashabiki wake na kumwaga machozi wakati akitoa burudani kwenye jukwaa la Wasafi Festival 2019 mkoani Tabora katika Uwanja wa Ali Hasan Mwinyi usiku wa kuamkia leo.
Comments are closed.