The House of Favourite Newspapers

Video: Mabasi 12 Yakataliwa Kusafiri Na Polisi Mbeya

0


JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limefanya ukaguzi katika mabasi ili kutazama uimara wa mabasi hayo ambapo wamekagua mabasi 32 na kuzuia 12 ambayo yamekutwa ni mabovu.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Leave A Reply