VIDEO: MAMA SAMIA ALIVYOAGA MWILI WA HAYATI MUGABE ZIMBABWE!
Share
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi wa nchi mbalimbali katika kuuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe, katika viwanja vya Rufaro jijini Harare.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.