VIDEO: MAMBOSASA AFANYA DORIA NA HELIKOPTA DAR
JESHI la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, chini ya Kamanda wake, Lazaro Mambosasa, leo Agosti 14, limefanya doria ya kukagua baadhi ya maeneo husika kwa kutumia ndege aina ya helikopta, zikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa mkutano wa viongozi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.