Video: Mapokezi ya Tony Rashidi Hatari/Wamlilia MAKONDA Kuwasaidia
Bondia Tanzania Tony Rashidi amerejea Nchini nam kanda wa A.B.U ambao ameupata niching Africa Kusini na kufanikiwa kumpiga Msauzi kwa TKO raundi ya 10 na anakuwa Tanzania wa tatu kuchukua mkanda ugenini waliyo fanya hivyo ni Abdala Pazi(Dual Babe), na Bruno Vifua
Comments are closed.