Video: Mmasai Wa Yanga “Tumemtekenya Massau Bwire Anacheka Tu”
Mchezo wa Ligi Kuu Feb 7, 2020 Uwanja wa Uhuru Ruvu Shooting dhidi ya Yanga umekamilika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na David Molinga kwa pasi ya Ditram Nchimbi. Mchezo wa kwanza mzunguko wa kwanza Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Yanga imelipa kisasi leo.

