Video: Polepole Awanaga Wapinzani Kutoshiriki Uchaguzi
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, leo Novemba 13, amevishambulia vyama vya upinzani vilivyotangaza kutoshiriki uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 na kusizitiza kwamba chama chake kitashiriki kama ilivyopangwa.
Ameyasema hayo wakati akiongea na na wanahabari katika ofisindogoza CCM Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam ambapo alisisitiza kwamba:
Comments are closed.