Video: Shoo Ya Alikiba Yafunika, Mashabiki Washindwa Kujizuia
MSANII wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ usiku wa kuamkia leo Novemba 9, 2019 amefanya ‘After Party’ katika ukumbi wa Elements Masaki jijini Dar kutambulisha ziara aliyoiita ‘Unforgatable’ itakayofanyika nchini nzima.
Comments are closed.