IKIWA ni takribani wiki moja tu baada ya msanii maarufu wa vichekesho hapa nchini, Cyprian Masele ‘Masele Chapombe’ kufunga ndoa na mkewe kipenzi, jana aliamua kumtongoza upya mke wake huyo wakati walipofika kwenye Studio za Global TV Online, kwa ajili ya interview.
Comments are closed.