Vigogo Chadema Watimkia CCM (+VIDEO)
DODOMA: Katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amepokelewa Moses Machali Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kwa Tiketi ya NCCR- Mageuzi.
Aidha Said Arfi naye ametangaza kujiunga na CCM na wamepokelewa leo rasmi katika mkutano uliyofanyika mjini Dodoma.
VIDEO MKUTANO MKUU WA CCM NEC DODOMA
Comments are closed.