The House of Favourite Newspapers

Vigogo Chadema Watimkia CCM (+VIDEO)

Said Arfi

DODOMA: Katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amepokelewa Moses Machali Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kwa Tiketi ya NCCR- Mageuzi.

Moses Machali

Aidha Said Arfi naye ametangaza kujiunga na CCM na wamepokelewa leo rasmi katika mkutano uliyofanyika mjini Dodoma.

VIDEO MKUTANO MKUU WA CCM NEC DODOMA

Salum Milongo/GPL

Comments are closed.