Viongozi wa Chuo cha Kiislamu cha Imam Swadiq watoa salamu za Krismas
Sheikh Hemed Jalala akiongea na waandhishi wa habari (hawapo pichani).
Sheikh Hemed Jalala akisisitiza jambo.
Waandishi wa habari wakichukua matukio.
Viongozi wa Chuo cha Kiislam cha Imam Swadiq, watoa salamu za pongezi kwa Wakristo katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas.
Sheikh Hemed Jalala alisema: “Wakristo ni ndugu zetu kwa msingi mkuu wa ubinadamu, hivyo umoja wa kijamii na kitaifa unaunganishwa na ubinadamu na si itikadi.”
(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha)