The House of Favourite Newspapers

Viongozi wa Chuo cha Kiislamu cha Imam Swadiq watoa salamu za Krismas

0

IMG-20151223-WA0001

Sheikh Hemed Jalala akiongea na waandhishi wa habari (hawapo pichani).

IMG-20151223-WA0005

Sheikh Hemed Jalala akisisitiza jambo.

IMG-20151223-WA0004

IMG-20151223-WA0008Waandishi wa habari wakichukua matukio.

Viongozi wa Chuo cha Kiislam cha Imam Swadiq, watoa salamu za pongezi kwa Wakristo katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas.

Sheikh Hemed Jalala alisema: “Wakristo ni ndugu zetu kwa msingi mkuu wa ubinadamu, hivyo umoja wa kijamii na kitaifa unaunganishwa na ubinadamu na si itikadi.”

(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha)

Leave A Reply