The House of Favourite Newspapers
gunners X

Vodacom Tanzania Foundation yaipiga ‘tafu’ Lukiza Autism Foundation

0

Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mh Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi picha iliyonunuliwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC, Magreth Ikongo baada ya mwenyekiti huyo kutoa dau kubwa zaidi, wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation  jijini  Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Hilda Nkabe.

Mh Jakaya Mrisho Kikwete akijadiliana na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC, Magreth Ikongo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Hisham Hendi wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam.
Mh Jakaya Mrisho Kikwete, akisaidiana na wazazi na watoto we nye Usonji kukata keki, wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Hilda Nkabe
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mh Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto wenye usonji, iliyoandaliwa na Lukiza Autism Foundation jijini Dar es Salaam.
Leave A Reply