The House of Favourite Newspapers

Vuna Mkwanja Ndani ya Champions League

0
Christiano Ronaldo.

LIGI ya Mabingwa Ulaya maarufu kwa jina la Uefa Champions League imerejea, na tayari hatua ya makundi ya ligi hiyo msimu huu wa 2017/18 ilianza jana Jumanne.

Timu vigogo nyingi za Ulaya zimo ndani ya ligi hiyo pendwa, leo Jumatano kutakuwa na michezo mingine ikiendelea, unayo nafasi ya kubashiri matokeo na kujiingizia fedha mara nyingi zaidi ya kile kiwango ulichoweka.

Yote hayo utayafanya ndani ya tovuti ya www.sokabet. co.tz ambayo inamilikiwa na Kampuni ya kubashiri matokeo ya Sokabet maarufu kwa jina la Wababe wa Kubet.

Ili uweze kupata nafasi ya kushiriki na kubashiri matokeo ya ligi hiyo pamoja na nyingine mbalimbali, hizi ni dondoo za kufanya hayo yote:

 

  1. Fungua tovuti ya Sokabet

Katika tovuti ya www.sokabet.co.tz utapata kila kitu, ukifungau tu kulia kwako utaona pameandikwa ONLINE, hicho ni kipengele cha kukusaidia kuuliza chochote ambacho unahisi haujaelewa, hapo utajibiwa na mhudumu moja kwa moja.

  1. Namba ya kampuni 335757

Namba ya kampuni ni 335757 hii utaitumia kuingiza fedha katika akaunti yako kisha unaweza kubet katika kipengele chochote unachotaka.

  1. Jiandikishe bure

Baada ya kuingia www. sokabet.co.tz bonyeza sehemu ya ‘SIGN UP’, jaza nafasi zilizo wazi, ukimaliza utatumiwa namba yako ya siri kwa njia ya SMS, hapo utakuwa umeshafungua akaunti yako.

  1. Ingia kwenye akaunti

Ukimaliza kujiandikisha rejea sehemu ya ‘LOGIN’, andika namba yako ya simu na ingiza namba ya siri ambayo ulitumiwa kwa njia ya SMS, hapo utakuwa umefungua akaunti yako. Ukirejea baadaye kufungua tovuti, hutakuwa na haja ya kujiandikisha upya, badala yake utaingiza namba ya simu kisha namba ya siri.

  1. Ingiza fedha

Kwa Vodacom, bonyeza *150*00#, chagua namba 4 (lipa kwa M-pesa), chagua namba 4 (weka namba ya kampuni), ingiza namba ya kampuni ambayo ni 335757, kisha ingiza kumbukumbu ambayo ni neno ‘Sokabet’.

Baada ya hapo ingiza kiasi unachotaka mfano Sh 1,000 au 5,000 na kuendelea, utamalizia kwa kuingiza namba yako ya siri na bonyeza namba 1 kukamilisha mchakato.

Kwa Tigopesa, kubonyeza *150*01#, chagua namba 4 (lipia bili), bonyeza namba 3 (ingiza namba ya kampuni), ingiza namba 335757, kisha ingiza kiasi cha fedha, ingiza neno ‘Sokabet’, malizia na namba yako ya siri ya Tigopesa.

Kwa Airtel bonyeza *150*60#, chagua namba 5 (lipia bili), bonyeza namba 4 (namba ya kampuni), ingiza namba 335757, kisha ingiza kiasi cha fedha, itakwambia ingiza kumbukumbu namba (hapa ingiza neno ‘Sokabet’), kisha namba yako ya siri ya Airtel money.

  1. Bet kwa Sh 200 tu

Ukimaliza kuingiza fedha kwenye akaunti yako ya Sokabet, utakuwa tayari kwa ajili ya kuanza kubashiri, kiwango cha chini kabisa ni shilingi 200 (mia mbili tu). Ukitatizika kwa chochote wasiliana na huduma kwa wateja kwa namba 0654705555.

Sokabet Jackpot inakupa Sh 100m

Katika kipengele cha Sokabet Jackpot unaweza kushinda hadi shilingi milioni 100 ikiwa utapatia matokeo ya michezo 13 tu huku wewe ukiweka Sh 1,000 (buku tu).

Jackpot ya wiki hii shinda 100,073,396

Dirisha la kubet katika Jackpot ya wiki hii linatarajiwa kufungwa Jumamosi ya Septemba 16, saa 8:00 mchana. Mshindi wa wiki hii atapata 100,073,396 (zaidi ya Sh milioni 100).

Kutakuwa na mechi 3 za ziada ambazo zinawekwa ili zijumuishwe kwa dharura endapo itatokea kuna mechi ndani ya zile 13 haikufanyika au haikumalizika, lakini zote zikichezwa bila tatizo, basi hazitaathiri zile 13 ambazo ndizo muhimu.

Ukikosea unaweza pata milioni 5

Ikitokea umekosea kubeti michezo kadhaa bado utakuwa na nafasi ya kujiingizia fedha. Mgawanyo sahihi wa fedha za ushindi kwa mechi utakazopatia upo hivi:

 

MECHI FEDHA UTAKAZOPATA

13/13 Sh 100,000,000

12/13 Sh 5,000,000

11/13 Sh 2,000,000

10/13 Sh 1,000,000

9/13 Atashiriki bure

Jackpot inayofuata

Leave A Reply