The House of Favourite Newspapers

Wachimbaji wadogo 5 wafariki kwa kuangukiwa na kifusi Geita

0

WACHIMBAJI wadogo watano wamefariki dunia jana huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakiwa katika harakati za kutafuta dhahabu kwenye kijiji cha Mgusu mjini Geita.

Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Zifuatazo ni picha kutoka eneo la machimbo:
IMG-20160309-WA0082

IMG-20160309-WA0084IMG-20160309-WA0085IMG-20160309-WA0086

IMG-20160309-WA0087

Baadhi ya maiti zilizotolewa katika kifusi kilichodondoka.

IMG-20160309-WA0088IMG-20160309-WA0089

Zoezi la uokoaji likiendelea.

IMG-20160309-WA0090
Picha kwa hisani: www.geita.info

Leave A Reply