Wadaiwa Sugu wa Ardhi Wafikishwa Mahakamani – Video
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, leo Jumatano, Machi 25, 2020, imewafikisha mahakamani wadaiwa sugu wa kodi ya pango la ardhi kuanzia katika maeneo mbalimbali nchini ikiwa ni jitihada za wizara hiyo kuhakikisha wamiliki wote wa ardhi wanalipa kodi kwa mujibu wa sheria.