The House of Favourite Newspapers
gunners X

WAETHIOPIA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KISUTU KWA UHAIAJI HARAMU

0
Watuhumiwa wakiwa chini ya ulinzi wa polisi eneo la mahakama.
…Wakiingizwa katika chumba cha mahabusu mahakamani.

RAIA wa Ethiopia zaidi ya kumi leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kuwa wahamiaji haramu.

 

Awali watu hao walifikishwa mahakamani hapo na magari ya Idara ya Uhamiaji ambapo haikufahamika walikamatwa maeneo gani hapa nchini. Lakini habari za kuaminika ni kwamba walikamatwa wakiwa njiani hapa nchini wakiwa hawana hati za kuwaruhusu kuwapo nchini ambapo inaaminika walikuwa wanakwenda Afrika Kusini.

 

NA DENIS MTIMA/GPL

Leave A Reply