The House of Favourite Newspapers

Wastara Akiri Sadifa Juma Kumharibu Kisaikolojia

0
Wastara Juma na Sadifa Juma.

STAA mahiri wa Bongo Muvi, Wastara Juma ameibuka na kusema aliyekuwa mume wake wa tatu ambaye ni Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, amemuharibu sana kisaikolojia kiasi kwamba anamchukia kila mwanaume anayemweleza kuwa anampenda.

Akizungumza na Za Motomoto News, Wastara alisema kuwa huwa hataki hata kuiona kabisa picha ya mbunge huyo, iwe kwenye gazeti, televisheni au mtandaoni, kwani anahisi anamchukia kupita kiasi.

“Yaani Sadifa kaniharibu kisaikolijia, amenifanya niwaogope wanaume kama ukoma na nimetokea kumchukia, hata nimuone kwenye mitandao ya kijamii au gazetini nachanganyikiwa kwa hasira maana sitaki kumuona kabisa kwenye macho yangu,” alisema Wastara.

Mr. Nice Afanyiwa Kitu Mbaya Gesti Uwanja wa Fisi Manzese!

Leave A Reply