AfyaHabariKitaifa Wataalamu Upasuaji Kujadili Uboreshaji Huduma Last updated Apr 18, 2017 0 Share Mganga Mkuu ,Prof. Mohammed Bakari, akizungumza. WATAALAM na wadau mbalimbali wa masuala ya upasuaji wa binadamu wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili namna wanavyoweza kuongeza huduma za kazi yao, changamoto mbalimbali na masuala mengine husika. Mkurugenzi na Mwongozaji wa Global Health, Asha Varghese, akizungumza na wanahabari. Rais wa Chama cha Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi (AGOTA) Prof. Andrea Pembe, akifafanua jambo. Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwa katika picha ya pamoja. Na Denis Mtima/GPL daktari aacha kaziDaktari Feki Afanya Upasuaji wa Watu 9 na Kufariki 1Huduma ya Afyamadaktari muhimbiliMama:Miezi 11 mwanangu anaishi kwa mateso bila upasuaji‘Hospitali zote wameushindwa huu ugonjwa’ 0 Share