Kutokea katika Shule ya Lucky Vincent, Karatu ikiwa ni siku moja tangu watoto watatu, Wilson, Sadia pamoja na Doreen ambao walinusurika katika ajali ya gari miezi mitatu ilyopita walipokuwa wakienda Karatu katika ziara ya kimasomo wawasili nchini, watoto hao wamekabidhiwa rasmi shuleni kwao kwa ajili ya kuendelea na masomo.
Picha hizi zinaonyesha walivyowasili shuleni kwao na kupokelewa na wanafunzi wenzao pamoja na walimu wao kwa furaha.
Mwandishi: Edwin Lindege | GPL
Tazama tukio zima kupitia Global TV Online
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App
Sikiliza Hadithi za Mtunzi Eric Shigongo Hapa