The House of Favourite Newspapers

Watoto wa Kim Kardashian Wabatizwa Armenia

Kim Kardashian na watoto wake watatu wamebatizwa wakati wa ziara yao huko Armenia.  Nyota huyo mwenye miaka 38 amesambaza mtandaoni picha za watoto wake  wote wanne, akiwa amembeba Psalm mwenye umri wa miezi mitano.  

Matukio katika picha:

 

Comments are closed.