October 17, 2019 by Global Publishers
Kim Kardashian na watoto wake watatu wamebatizwa wakati wa ziara yao huko Armenia. Nyota huyo mwenye miaka 38 amesambaza mtandaoni picha za watoto wake wote wanne, akiwa amembeba Psalm mwenye umri wa miezi mitano.
Matukio katika picha: