Watu 30 wamekufa baada ya kutokea maporomoko ya ardhi katika mgodi wa madini ya Dhahabu wa Ndiyo, eneo la Watsa katika Jimbo la Upper-Uele, Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


Watu 30 wamekufa baada ya kutokea maporomoko ya ardhi katika mgodi wa madini ya Dhahabu wa Ndiyo, eneo la Watsa katika Jimbo la Upper-Uele, Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Next Post