Watumishi wa Idara ya Afya na wadau mbalimbali wa Afya jioni hii wamekutana na kupongezana kwa kazi kubwa wanayoendelea nayo katika kuwatumikiwa wananchi katika sekta ya afya.
Katika hafla hiyo imehudhuriwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ilal, Mhe. Ng’wilabuzu Ndwata Ludigija.