Breaking News: Waziri Mkuu abaini upotevu wa makontena mengine 2,431
Waziri Mkuu, Kassim M. Majaliwa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim M. Majaliwa leo amefanya tena ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na Shirika la Reli Tanzania (TRL) na kubaini upotevu wa makontena zaidi ya 2,431. Akiwa bandarini amekagua mfumo wa utoaji na uingizaji mizigo bandarini.
Comments are closed.