The House of Favourite Newspapers

Waziri Mkuu Aikabidhi Cheti Nmb Kwa Udhamini Kongamano la Ugavi na Ununuzi

0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemkabidhi cheti, Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB, Benedicto Baragomwa kwa niaba ya benki ya NMB kutambua mchango wa Benki hiyo kudhamini Kongamano la 11 la Wataalamu wa Manunuzi na Ugavi (PSPTB) linalofanyika jijini Arusha.
Leave A Reply