Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa ameongoza kukimbia mbio za hisani za ‘NMB Marathon’ kwa ajili ya kukusanya kiasi cha fedha zitakazo tumika katika matibabu ya Fistula kwa kina mama wasio na uwezo, kwenye viwanja ya Leaders jijini Dar es Salaam.