The House of Favourite Newspapers

Waziri Mkuu Ameongoza Kikao Cha Kamati Ya Kitaifa Ya Nishati Safi Ya Kupikia

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Februari 09, 2024 ameongoza kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.

Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Biteko.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Biteko akichangia jambo.

 

#EXCLUSIVE: FEMI na LUKA JUA KALI WAFUNGUKA WAKIWA na VIPARA VYAO – ”NILILIA SANA SIKU ya KUNYOA”

Leave A Reply