Wema Sepetu: “Napenda Kuwashukuru Kwa Kuniamini Na Kusimama Na Mimi…”
Wema Sepetu anazidi kuzimiliki headlines za mitandao kinamna yake.
Ukitembelea ukurasa wa Instagram wa staa huyo utakutana na ujumbe mrefu wa shukurani kwa watu wote waliokuwa nae bega kwa bega kwenye kipindi kigumu.
“Napenda kuwashukuru mashabiki wangu wote duniani kwa kuniamini na kusimama na mimi kwa kipindi chote hiki, pia napenda kuwashukuru wasanii wenzangu wote”. – ameandika Wema Sepetu.
Wema pia ameendelea kuwakumbusha mashabiki zake wa ndani na nje ya nchi kuendelea kudownload App yake mpya inayopatikana kwa watumiaji wa Android (kwa sasa) kupitia Android Play Store
Kaa karibu na Wema Sepetu kwa kum-follow Instagram (@WemaSepetu), ama bonyeza hapa.
Comments are closed.