Wizkid Akutana na Domenico Dolce, Campbell na Tempah huko Milan
MWANAMUZIKI Wizkid wa Nigeria juzi alikutana na mastaa Naomi Campbell mwanamitindo wa Uingereza, na rapa Tinie Tempah wa Uingereza kwenye ‘Shoo ya Siri’ ya mavazi iliyotayarishwa na mtaalam wa mitindo,Domenico Dolce, wa kampuni ya Dolce & Gabbana huko Milan nchini Italia.
Comments are closed.