Wolper Alivyokata Keki na Mastaa The Life Club, Dar
Usiku wa Desemba 7, 2018, mwigizaji wa Bongo Movie na mwanamitindio, Jaqueline Wolper, alisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika ukumbi wa Life Club Mwenge ambapo wapenzi Sarah na Harmonize walinogesha sherehe.
Mastaa waliofika kusherekea na Wolper siku yake ya kuzaliwa ni Zuwena Mohamed ‘Shilole Kiuno’, Lavalava, Esma Platnumz, Video vixen Nai, Amber Lulu, Gigy Money na wengine kibao.
PICHA NA MUSA MATEJA | GPL
Comments are closed.