Wolper, Harmonize na Sarah Wakutana Usiku Mnene!
STAA wa filamu NVHINI, Jacqueline Wolper, usiku wa kuamkia leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa katika ukumbi wa Life Club Mwenge ambapo sherehe ilinogeshwa zaidi na uwepo wa aliyekuwa mpenzi wake Harmonize ambaye aliweka wazi mahusiano yake na mrembo huyo kuwa hakuna kitu kingine zaidi ya urafiki.
Mastaa wengine waliofika katika katika ukumbi huo ni Lavalava, Shilole, Esma Platnumz na wengine wengi.
PICHA NA MUDA MATEJA | GPL
Comments are closed.