The House of Favourite Newspapers

Yaliyomo katika Gazeti la Uwazi Novemba 24, 2015

0

Sumu

KIGOGO WA MADEREVA AMEUAWA KWA SUMU!

-Ni Rashid Saleh aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu na Msemaji wa Chama cha Madereva Tanzania (Tadwu)
-Mke asimulia kila kitu, aitaja kauli ya mwisho ya marehemu, madereva roho mkononi
-Unataka kujua A to Z kuhusu kifo hiki cha kusikitisha?

SHEIKH AOMBA RAIS MAGUFULI AONGEZEWE ULINZI!
-Unataka kujua ni Sheikh gani huyo?
-Je, kwa nini ameomba Mhe. Rais Magufuli aongezewe ulinzi?

SIMULIZI YA WALIOSHI ARDHINI SIKU 41 INASIKITISHA
-Mmoja afariki dunia, mazito zaidi yaibuka

MTOTO AJIFUNGUA MAPACHA WALIOUNGANA
-Ana miaka 17
-Asimulia machungu yake
-Unajua ni wapi huko?

Leave A Reply