The House of Favourite Newspapers
gunners X

Yaliyomo kwenye Gazeti la Amani, Alhamisi hii

0

l-ululuuluulu

LULU KUMRITHI ZARI KWA DIAMOND

-Ni baada ya familia ya Diamond kukubali
-Lulu amsingizia Wema
-Diamond naye afunguka
-Unajua kisa ni nini?

TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA MAGUFULI AKIAPISHWA
-Atua Bongo na wasaidizi 40
-Atoa neno zito kwa Watanzania

AUNT AAPA; WEMA ATANIONA KWENYE KIFO
-Unajua chanzo cha kunena hayo?
-Mazito yaibuka, ni yapi hayo?

PENZI LA RAY, CHUCHU CHALIIIIII!
-Johari meno 32 njeee
-Chuchu anena mazito na Gazeti la AMANI
-Unajua chanzo cha kuvunjika kwa penzi hilo?

Kujua undani wa habari hizi na mengine mengi, Usikose kusoma Gazeti la AMANI, Alhamisi hii.

Leave A Reply