Yanga, Simba Wapangiwa Vigogo Hawa Michuano ya CAF
Michuano ya Caf inatarajia kuanza kutimua vumbi kuanzia Februari mwakani huku Yanga ikitarajia kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuibuka mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita huku wapinzani wao Simba wakishiriki Michuano ya Kombe la Shirikisho kutokana na kuibuka mabingwa katika michuano ya Kombe la FA, msimu uliopita.
Comments are closed.