The House of Favourite Newspapers

Yanga Yatangaza Kamati Ya Hamasa, Irene Uwoya, Wolper Wamo


Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Dkt. Mshindo Msolla kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji wa Yanga, ameteua Kamati ya Kudumu ya Hamasa yenye wajumbe 21.

Comments are closed.