Katika mahubiri hayo yaliyochukua siku tatu, Job aliungana na wachungaji wengine kwa ajili ya kampeni ya “Mavuno ya Kiroho” (Soul Harvest) na alikaribishwa na wenyeji wake kuwa msemaji mwalikwa.
Wakati mwanzoni watu walifikiri Job alikuwa raia wa Afrika Kusini, kugundulika kwa ukurasa wake katika mtandao wa Facebook kulionyesha alikuwa nchini humo kwa ajili ya mahubiri hayo.
Comments are closed.