ZAHERA Amchambua KINDOKI Ammwagia Misifa NINJA – Video
Licha ya kushindwa kucheza katika mchezo wa jana dhidi ya Biashara United ya mkoani Mara, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amefunguka mambo kadhaa kuhusiana na kipa, Klaus Kindoki na mfungaji wa bao la kwanza la Yanga dhidi ya Biashara, beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’.
Comments are closed.