‘Zigo’ Lampagawisha Bob Junior Kinoma!
Stori: Na Andrew Carlos | IJUMAA | ShowBiz
Ama kweli kuna watu wamejaaliwa! Msanii wa muziki Bongo, Bob Junior hivi karibuni alijikuta akishindwa kurekodi video ya wimbo wake wa Chukuchuku baada ya kuchanganywa na dada mmoja aliyemtumia kama modo ambaye kafungashia ile mbaya.
Ilikuwa kwenye jengo moja lililopo Posta jijini Dar ambapo Bob Junior akiwa na wenzake walifika eneo hilo kwa ajili ya kurekodi lakini ilipofika ile ‘scene’ ya modo huyo kumkatia viuno, msanii huyo akajikuta amekodoa macho kodo na kushindwa kufanya alichokuwa akitakiwa kufanya.
“Unaambiwa yule demu kafungashia ile mbaya, sijui kamtoa wapi! Yaani kuna wakati Bob Junior badala ya kucheza kama ilivyopangwa, alijikuta akikodolea macho zigo la dada huyo,” alisema mmoja wa marafiki wa msanii huyo aliyekuwa eneo la tukio.
Kwa stori zote kali, Tu-follow
Facebook @Globalpublishers
Twitter @GlobalHabari
Instagram @GlobalPublishers
YouTube @GlobalTVTZ
Comments are closed.