Kisa Mo, Zahera Amtimua Cannavaro Yanga
KOCHA wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa yeye ndiye alimtimua meneja wa timu hiyo, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ baada ya kuonekana kwenye ofisi ya Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji Mo licha ya yeye kufafanua kuwa alikuwa na ishu zake. Lakini siyo hilo tu, Zahera amemhusisha staa huyo wa Zanzibar mwenye heshima Yanga na bao … Continue reading Kisa Mo, Zahera Amtimua Cannavaro Yanga
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed