#Exclusive: Mkubwa Fella Afunguka Zuchu Kufungiwa Zanzibar -Video
MENEJA wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, Said Fella maarufu kama Mkubwa Fella amefunguka sakata la malkia wa muziki wa Kizazi Kipya, Zuhura Othman almaarufu Zuchu kufungiwa na Baraza la Sanaa,…