Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Afungua Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi Tanga – Video
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA), mkoani Tanga, leo Desemba 15, 2025, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa 9 wa Mkuu wa…
Usikose! Ajira 514 Zatangazwa Afya, TEHAMA na Ufundi – Deadline Disemba 23
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, MDAs, LGAs, Jeshi la Magereza pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, ametangaza nafasi 514 za ajira kwa Watanzania wenye sifa na…
Elon Musk Atambulisha XChat – App Mpya ya Faragha na Ukomo wa Mazungumzo
Elon Musk, mmiliki wa jukwaa la X (zamani Twitter), ametambulisha rasmi XChat, mfumo mpya wa mawasiliano ulioundwa kuboresha faragha, kasi na uhuru wa mazungumzo ya kidijitali.
XChat imejengwa kwa teknolojia ya kisasa, ikiwa na usanifu…
Vumbi Kuendelea Leo: Mechi Kibao Kutikisa Ligi Kuu za Ulaya
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumatatu ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa.
SERIE A kutakuwa na mechi kali kati…
Waziri Mkuu Nchemba Awali Songea Kushiriki Ibada ya Heshima za Mwisho Jenista Mhagama Peramiho
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Leo Desemba 15, 2025 amewasili Mjini Songea ambako atashiriki katika Ibada ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Jenista Mhagama aliyekuwa Mbunge wa Peramisho na Waziri Mstaafu, inayofanyika kwenye…
Mh.Balozi Dkt.Nchimbi Mgeni Rasmi Uwekaji Jiwe La Msingi La Ujenzi Wa Kampasi Ya Chuo Kikuu Cha…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera leo tarehe 14 Desemba 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uwekaji jiwe…
Watanzania Tunzeni Akiba Ya Chakula: Waziri Mkuu
Ahimiza matumizi ya mbolea na mbegu za mazao ya muda mfupi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.
Waziri…
Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet
Burudani ya michezo ya mtandaoni haijawahi kuwa hai kama ilivyo sasa. Meridianbet imezindua rasmi TVBET, huduma ambayo inaleta upepo mpya wa michezo mubashara kwa kasi na mvuto unaoendana na wachezaji wa kizazi cha leo. Huu ni ulimwengu…
Jinsi ya Kuwafanya Wateja Wako Wawe na Furaha
RAFIKI yangu, unahitaji kuwafanya wateja wako wawe na furaha. Unahitaji kuwafanya wawe wateja wanaokuja kwako kila mara na waweze kuleta marafiki zao.
Kama utakuwa na wateja wasio na furaha, wanaweza wakasambaza maneno ya siyo…
Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres Atuma Ujumbe Kwa Rais Samia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametuma ujumbe kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Desemba 14, 2025, wakati alipokutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…
