GAME 1: Golden Warriors Waichapa Cleveland Cavaliers 124-114
SHUGHULI ya fainali ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) imeanza baada ya Golden State Warriors kuiliza Cleveland Cavaliers 124-114 kwenye mechi ya kwanza usiku wa kuamkia jana Ijumaa. Mechi hiyo ilikuwa kali huku kipindi cha kwanza kikisisimua zaidi, ambapo timu zote mbili zilikuwa zinajaribu kufunga pointi kwa mitupo ya mbali. Kipindi … Continue reading GAME 1: Golden Warriors Waichapa Cleveland Cavaliers 124-114
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed