×

Lugalo Golf Club Bingwa Mashindano Ya Mkuu Wa Majeshi

kombeMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Kikombe Mshindi wa Jumla wa Kombe la Mkuu wa majeshi CDF TROPHY mpiga Golf ambaye ni Mkuu wa majeshi Mstaafu Jenerali George Watara mara baada ya mashindano katika Uwanja wa Golf Lugalo Jijini Dar es Salaam jana Septemba 24.
Mshindi wa Jumla wa mashindano ya CDF Trophy 2016 Mkuu wa majeshi mstaafu George Waitara (wa kwanza kulia) akipokea Mfano wa Tiketi ya Ndege aliyopewa baada ya kushinda Wa pili kulia ni Mnadhimu mkuu wa jeshi Luteni Jenerali Venance Mabeyo, wa tatu Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda na Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti wa Lugalo Golf Club Brig Gen Michael Luwongo.(Picha
Mshindi wa Jumla wa mashindano ya CDF Trophy 2016 Mkuu wa majeshi Mstaafu George Waitara (wa kwanza kulia) akipiga mpira wakati wa mashindano hayo katika uwanja wa Golf Lugalo Dar es Salaam wa kwanza kushoto ni katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi Mh Job Masima.
Baadhi ya Wachezaji Wanawake (Ladies) walioshiriki mashindano ya Kombe la mkuu wa majeshi CDF Trophy wakiwa katika harakati za mchezo huo katika mashindano yaliyofanyika uwanja wa Golf Lugalo jana Jumamosi Septemba 24 Jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya Watoto (Junior) wasichana walioshiriki mashindano ya Kombe la mkuu wa majeshi CDF Trophy wakiwa katika harakati za mchezo huo katika mashindano yaliyofanyika uwanja wa Golf Lugalo jana Jumamosi Septemba 24 Jijini Dar es Salaam.
Watoto Junior walioshiriki mashindano ya Kombe la mkuu wa majeshi CDF Trophy wakiwa katika harakati za mchezo huo katika mashindano yaliyofanyika uwanja wa Golf Lugalo jana Jumamosi Septemba 24 Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Watoto (Junior) walioshiriki mashindano ya Kombe la mkuu wa majeshi CDF Trophy wakiwa katika harakati za mchezo huo katika mashindano yaliyofanyika uwanja wa Golf Lugalo jana Jumamosi Septemba 24 Jijini Dar es Salaam.
Picha na Luteni Selemani Semunyu.